AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Lady Jaydee amesema ni jambo jema na la kumshukuru Mungu kwa wasanii wanapopeana ushirikiano.
“Ni jambo jema msanii mwenzako anapokusuport, na ndio kitu ambacho wasanii wengi tunapenda, sisi binadamu kwa hivyo mkae mkifahamu kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha, nilishukuru kwamba msanii mwenzangu amenisuport”, amesema LadyJaydee.
LadyJaydee ameendelea kwa kusema kwamba.... “ni wasanii ambao tulikuwa tunaelewana, na ndio maana tuliweza kufanya nyimbo nyingi ambazo ziliweza kufanya vizuri, watu walikuwa wanasikitika kwa yale yaliyotokea”.
Wawili hao walikuwa kwenye bifu kali ambalo ilikuwa hata salamu hakuna, lakini hivi karibuni wameamua kuyamaliza na kuondoa tofauti zao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK