AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dk Msonde alisema mitihani hiyo itaanza leo Oktoba 30, 2017 na kumalizika Novemba 17, 2017 huku akieleza kuwa maandalizi ya mitihani yameshakamilika na mitihani imeshafika kwenye vituo.
Aidha Msonde alizitaka kamati za mitihani za mikoa na halmashauri kuhakikisha utaratibu wa uendeshaji wa mitihani hiyo unafuatwa huku akiwataka wanafunzi kuacha vitendo vya udanganyifu wakati wa kufanya mitihani kwa kuwa wanaweza kufaulu bila kufanya hivyo.
“Mliyojifunza yanatosha fanyeni mitihani kwa kufuata utaratibu uliowekwa, baraza halitasita kuwafutia mitihani wote watakaojihusisha na udanganyifu, wasimamizi wa mitihani wajiepushe na vitendo vya udanganyifu, atakayekiuka atachukuliwa hatua za kisheria.” alisema Msonde.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK