AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mourinho akiwa anaiongoza Manchester United, watakipiga na wapinzani wao hao katika Premier League na tayari presha imekuwa kubwa kuelekea mchezo huo.
United imekuwa na kasi kubwa ya kufunga mabao ambapo imeshapata ushindi wa mabao manne katika mechi sita za hivi karibuni lakini hilo siyo kitu kwa nguli huyo kuamini kuwa United itaingia kushambulia.
Dalglish amenukuliwa akisema: “Miaka mitatu iliyopita Jose akiwa na Chelsea aliifanya kazi hiyo ya kuzuia vizuri walipokuja hapa (Anfield), naamini hata sasa atafanya hivyo pia
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK