AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ambaye bado anafanya vizuri na ngoma yake ‘Dedee’, alipoulizwa na kipindi cha Clouds E kuhusu beef ya video vixen hao alijibu;.
“Tangia nimeacha kufuatilia haya mambo siyo kivile kwa hiyo sina comment kuhusiana na hawa watu, siwezi kusema chochote kila mtu anatafuta kwa jinsi yake, labda wao ndio jinsi wameona” amesema Mimi Mars.
Mimi Mars alikuwa mtangazaji wa kipindi cha Weekend Gossip ambacho kinaruka kupitia TV1 ambacho kilikuwa kinahusika na udaku wa mastaa mbalimbali.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK