Miss Tanzania Aliyeteuliwa Kushiriki Miss World 2017 Awasili China

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Miss Tanzania Aliyeteuliwa Kushiriki Miss World 2017 Awasili China
Mrembo kutoka Tanzania Julitha Kabete aliyechaguliwa kwenda katika mashindano ya urembo wa dunia, Miss World 2017 kwaajili ya kuiwakilisha taifa kwa mwaka huu ameshafika nchini China.

Julitha aliondoka siku ya Oktoba 19, mwaka huu kuelekea nchini humo katika mji wa Sanya, kwaajili ya shindano hilo linalohusisha nchi zipatazo 120 duniani kote.

Kilele cha mashindano ya Miss World 2017 yanatarajiwa kufanyika ifikapo Novemba 18 mwaka huu, katika ukumbi wa Sanya City Arena na kituo cha E! na Phoenix TV, ndiyo watakaorusha matangazo hayo mubashara.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad