Jay Mo Atoboa Siri kwa Watanzania Kuhusu Marehemu Ngwea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jay Mo Atoboa Siri kwa Watanzania Kuhusu Marehemu Ngwea
Msanii Jaymo amefunguka kitu ambacho watanzania wengi walikuwa hawakijui ambacho kilikuwa kifanyike kati yake na msanii mwenzake ambaye ni marehemu kwa sasa, Albert Mangwea.

Akipiga stori kwenye Back Stage ya Bongo Fleva Top 20, Jamo amesema walikusudia kufanya kazi kwa pamoja baada ya kuona kazi ya habari ndo hiyo ya Mwana Fa na AY, hivyo wakatamani nao watengeneze albam ya pamoja.
"Tulikuwa tunapanga kufanya albam ya pamoja mimi na marehemu, na 'insipiration' kubwa tuliipata kutoka kwa Mwana FA na AY, walipofanya 'Habari ndo hiyo', na tayari tulishakuwa tumefanya nyimbo nyingi pamoja na ambazo zilishatoka, na Majani tulishamwambia, lakini ndio hiyo bahati mbaya ikatokea na hiko kitu hakikutokea", amesema Jay Mo.
Wasanii hao tayari walishafanya kazi pamoja kama cheza kwa step, kimya kimya na kimafia ambazo zilifanya vizuri na bado zinadai.
Albert Mangwea alifariki May 2014, akiwa nchini Afrika Kusini ambako alienda kwa ajili ya kazi zake za sanaa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad