AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nape Nnauye alisema hayo wiki iliyopita alipoongea na mwandishi wa EATV na kusema baadhi ya watu wamekuwa wakichukua baadhi ya vitu anavyoweka kwenye mitandao yake ya jamii na kuanza kusambaza wakimtuhumu kuwa anamsema Rais kitu ambacho anadai si kweli.
Mbunge huyo wa Mtama amesema kitendo hicho cha watu kuchukua maneno yake na kuanza kusema anamzungumzia Rais ni kitu ambacho kimekuwa kikimuumiza sana siku hizi.
"Maana watu kila nifanyalo wanaona kama namsema Rais hili linaudhi na kuniumiza sana siku hizi" alisisitiza Nape Nnauy
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK