AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na Uwazi Showbiz, Nuh alisema kuwa mara kwa mara amekuwa akiwasiliana na mwanamke huyo kumjulia hali mwanaye ikiwa ni pamoja na kumhudumia lakini anashangazwa na yeye kuibuka kwenye media na kudai hamhudumii.
“Mambo mengine unaweza kusema hata mtu anatafuta kiki au anakutafuta la undani. Kiukweli sitaki kulizungumzia suala hili sana lakini ukweli ni kwamba siwezi kuacha kumhudumia mwanangu!
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ndio mkomage na kuwa na wanawake viruka njia
ReplyDelete