AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Emmanuel Okwi wa Simba ndiye anayeongoza kwenye orodha ya wafungaji wa Ligi Kuu Bara akiwa na mabao nane, sasa Tambwe anasema akirudi uwanjani atahakikisha anamfikia.
Tambwe amedai anatamani sana Okwi asiongeze bao lolote katika kipindi hiki mpaka yeye atakapoanza kuitumikia Yanga.
Akizungumza na Championi Jumamosi, Tambwe alisema anaamini akirudi uwanjani na asipopata majeraha tena basi ndani ya mechi tatu au nne anaweza kufikisha mabao nane yaliyofungwa na Okwi.
“Hali yangu kwa sasa siyo mbaya sana ninamshukuru Mungu naendelea vizuri lakini pia naomba ligi isimame kwa muda hata mechi yetu ijayo na Mbeya City natamani isiwepo ili niweze kupona vizuri.
“Nataka siku nikirudi niweze kuwa fiti zaidi tayari kwa kupambana na akina Okwi na wenzake ambao hivi sasa wanachuana kwa kuzifumania nyavu,” alisema Tambwe.
Tambwe anayesumbuliwa na goti bado hajaanza mazoezi lakini mwenyewe amedai ndani ya siku chache zijazo atarejea uwanjani huku akijitibu binafsi
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK