Hali ya Samata Yaanza Kuimarika Aanza Mazoezi ya Kutembea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hali ya Samata Yaanza Kuimarika Aanza Mazoezi ya Kutembea
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta ameanza kuonekana akifanya mazoezi mepesimepesi ya kutembea kwa kutumia fimbo maalum.
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta

Samatta kwanyakati tofauti ameonekana akiwa na fimbo zinazomsaidia kutembea huku goti lake la mguu wa kulia likionekana kufungwa bandeji.

Samatta ambaye amefanyiwa upasuaji wa goti siku chache zilizopita baada ya kuumia ndani ya klabu yake hali iliyopelekea kukosa kujumuika na kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) atakuwa nje ya Uwanja kwa muda wa majuma sita hii ni kwa mujibu wa daktari aliyemtibu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad