AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waathiriwa wengi wa shambulio hilo lililofanywa na wanamgambo walikuwa ni wanawake, wanaume na watoto pamoja na maafisa wa jeshi waliokuwa wakitoka msikitini .
Serikali ya Misri imetangaza siku tatu za maombolezi kufuatia mauaji hayo.
Watu 235 wauawa katika shambulio la msikiti Misri
Rais Abdel-Fattah al-Sisi ameahidi kuchukua hatua kali dhidi ya wanamgambo hao.
Eneo hilo la Sinai hukumbwa na mashambulio ya mara kwa mara yanayofanywa na wanamgambo wanaopinga serikali ya Misri, na msikiti uliolengwa ni maarufu sana na waumini wa madhehebu ya kisufi na watu wa kabila la -Sawarka wanaosemekana kuunga mkono kikamilifu serikali ya rais rais Abdel-Fattah al-Sisi .
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK