Misri Yaapa Kukabiliana na Wauaji wa Watu 235 Msikitini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Misri Yaapa Kukabiliana na Wauaji wa Watu 235 Msikitini
Kikosi cha kijeshi cha Misri kimeanza mashambulio dhidi ya ngome za wanamgambo wanaodhaniwa ndio waliosababisha vifo vya watu wapatao 235 baada ya kuwashambulia katika eneo la rasi ya Sinai wakati walipokuwa wanatoka msikitini.
Waathiriwa wengi wa shambulio hilo lililofanywa na wanamgambo walikuwa ni wanawake, wanaume na watoto pamoja na maafisa wa jeshi waliokuwa wakitoka msikitini .
Serikali ya Misri imetangaza siku tatu za maombolezi kufuatia mauaji hayo.
Watu 235 wauawa katika shambulio la msikiti Misri
Rais Abdel-Fattah al-Sisi ameahidi kuchukua hatua kali dhidi ya wanamgambo hao.
Eneo hilo la Sinai hukumbwa na mashambulio ya mara kwa mara yanayofanywa na wanamgambo wanaopinga serikali ya Misri, na msikiti uliolengwa ni maarufu sana na waumini wa madhehebu ya kisufi na watu wa kabila la -Sawarka wanaosemekana kuunga mkono kikamilifu serikali ya rais rais Abdel-Fattah al-Sisi .
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad