AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamume ambaye alikuwa akipaka paa la nyumba rangi aliponea kwa kuwa wakati huo alikuwa ameenda kupata chakula cha mchana kwa wakati kisa hicho kilitokea,
Polisi aliiambia BBC kuwa ndege hiyo ya kubeba abiria wanne ambayo ni ya kutoa mafunzo ilikuwa ikiruka chini kwa chini.
Aliongoza kuwa rabani na mwanafunzi wake wako salama na uchunguzi umenza kubaini vi vipi kisa hicho kilitokea.
Insepkta wa Polisi Karan Kumar Singh alisema kuwa ni kawaida kuona ndege zikiruka chini kwa chini eneo hilo.
Rubani na mwanafuzi wakae waliponea mwezi Septemba wakati ndege kama hiyo ilianguka eneo hio.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK