Mlango wa Ndege Iliyokuwa Angani Waangukia Nyumba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mlango wa Ndege Iliyokuwa Angani Waangukia Nyumba
Familia moja nchini India imepigwa na mshangao baada ya mlango wa ndege kuangukia nyumba yao katika mji ulio kusini mwa India wa Hyderabad.
Mwanamume ambaye alikuwa akipaka paa la nyumba rangi aliponea kwa kuwa wakati huo alikuwa ameenda kupata chakula cha mchana kwa wakati kisa hicho kilitokea,
Polisi aliiambia BBC kuwa ndege hiyo ya kubeba abiria wanne ambayo ni ya kutoa mafunzo ilikuwa ikiruka chini kwa chini.

Aliongoza kuwa rabani na mwanafunzi wake wako salama na uchunguzi umenza kubaini vi vipi kisa hicho kilitokea.
Insepkta wa Polisi Karan Kumar Singh alisema kuwa ni kawaida kuona ndege zikiruka chini kwa chini eneo hilo.
Rubani na mwanafuzi wakae waliponea mwezi Septemba wakati ndege kama hiyo ilianguka eneo hio.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad