AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii huyo anayefanya vyema na kibao chake hicho, amesema amefikia wakati wa kuitwa mama na Mungu akipenda mwakani anatamani hilo litimie.
“Kuitwa mama ni baraka na hakuna mwanamke ambaye hatamani hilo, kikubwa ni mipango tu kwa kuwa huwezi kukurupuka, halafu kingine mtoto ni mipango ya Mungu, unaweza kupanga hivi ikawa vile, sasa naona na mimi ni wakati wangu wa kutimiza hilo,” Gigy aliliambia Gazeti la Mtanzania.
Alisema pamoja na malezi kuwa na changamoto zake lakini ni jambo ambalo lazima alipitie na amejipanga vyema kutimiza azma yake hiyo aliyojiwekea na mpenzi wake.
Gigy alisema anatarajia kupata mtoto na mpenzi wake wa siku nyingi ambaye wote kwa pamoja wameridhia jambo hilo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK