AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Mikito Nusunusu, Nuh alisema kuwa, hamfahamu huyo mwanaume kama watu wanavyosema kwamba alimtoa Iringa na kuja kukaa kwake huku akifanya naye kolabo na ndipo alifahamiana na aliyekuwa mkewe Nawal.
“Simfahamu kabisa huyo mwanaume zaidi ya kumuona kwenye picha, nawaomba mashabiki wangu wasinihusishe kabisa na hao watu maana kama ni Nawal yupo na maisha yake nami niko na maisha yangu, nipo kikazi zaidi kwani kwa sasa ninatembea mikoa mbalimbali kufanya shoo wala sina habari na mtu,” alisema Nuh.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK