AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Semu amefuatana na Katibu wa Kamati ya Ulinzi ya chama hicho, Mohamed Babu.
Viongozi hao pamoja na Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo, Yeremia Maganja wanatakiwa kufika katika kitengo hicho wakiwakilisha wajumbe wote wa Kamati Kuu ambao walitakiwa kuripoti leo.
Wakati viongozi hao wakiwasili hapo, Kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe ameripoti Kituo cha Polisi Chang'ombe jijini Dar es Salaam ambako anatuhumiwa kwa uchochezi.
Baada ya kuripoti kituoni hapo, Zitto ametakiwa kurejea tena Ijumaa Novemba 17,2017.
“Nimeambiwa nirudi wiki ijao siku ya Ijumaa Novemba 17," amesema Zitto.
Kiongozi huyo ameelekea Kamata ambako anatakiwa kuripoti katika kitengo cha uhalifu wa makosa ya kifedha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tena kwesho kutwa anaitwa Kituoni Mtwara.
ReplyDelete