AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Star Mix, Aunt alisema ameamua kuishi maisha ya kupanga kwa sababu ya ukaribu na kazi zake na kama ni nyumba yake ipo maeneo ya Kigamboni.
“Nawashangaa sana wanaosema hivyo. Nimepanga katikati ya mji ili nifanye kazi zangu kwa wepesi na kama ni nyumba mbona ninayo Kigamboni?” Alihoji Aunt ambaye ni mzazi mwenza na Moze Iyobo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK