AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mapema Alhamisi hii muimbaji huyo aliandika “Aliyelala na bibi harusi wiki moja kabla ya harusi na wala sio bwana harusi bado mnanishauri harusi’ kauli ambayo ilitafsiriwa na wadau wa mambo kwamba dongo hilo linaenda kwa Shilole na Uchebe.
Ile post mimi nimeweka kwasababu ni msemo ambao nimeupenda na sipangiwi cha kukiposti na nimeandika si kwa ubaya na sijamtagi mtu hivyo nisinukuliwe vibaya coz niliandika na wala sikufikiria watu wangeusisha na harusi ya shilole ila ninavyojua hivi vitu vipo vinatokea kwa watu unamkuta bibi harusi kesho no harusi yake na analala na mwanamume mwingine.
Mimi na Shilole toka tuachane hatujawahi kurudiana ila uwa tunasaidiana pale inapoitajika kama kafiwa siwezi kuacha kwenda kumfariji kwakuwa tumeachana haipo hivyo na hata ngoma yangu ya sasa kuna baadhi ya vitu amenisaidia kuingiza.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK