AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba imemtangaza mfanyabiashara Mohamed Dewji ambaye anatajwa katika list ya mabilionea wa Afrika kuwa ndio mshindi wa zabuni ya uwekezaji wa timu hiyo kwa dau la Tsh bilioni 20, kwa mujibu wa kanuni zilizotangazwa na Waziri mweye dhamana ya michezo MO Dewji ataruhusiwa kumiliki asilimia 49 ya hisa za Simba na wanachama asilimia 51.
Afisa habari wa Simba Haji Manara baada ya club yao kupiga hatua hiyo amepost ujumbe flani hivi wa kuwatania watani zao wa jadi Yanga ambao bado wanategemea michango ya wanachama, post ya manara ipo hivi kapost picha ya mabilionea mbalimbali wanaomiliki vilabu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK