AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli amesema kuwa watu wote wanaolalamika kuwa maisha magumu na hela hazi0nekani ni watu waliokuwa wanapata fedha kwa njia zisizo halali ndiyo maana wanalalamika vyuma vimekaza.
“Vyuma vimekaza na bado vitavunjika kabisa, nawashauri muweke grisi,”amesema Rais Magufuli leo Alhamisi Desemba 14,2017 mjini Dodoma kwenye ufunguzi wa mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT).
Kwa upande mwingine Rais Magufuli amewataka Walimu wote nchini watakaohamishwa bila kupewa pesa za uhamisho kukataa kuhama hadi watakapopewa pesa hizo kwani kitendo hicho hakiwezi kuwafukuzisha kazi.
“Usihame kama hujalipwa pesa yako, hakuna atakayekufukuza kazi kama hajakulipa pesa ya uhamisho,”amesema Rais Magufuli.
Soma zaidi hotuba yake yote – Mambo 31 aliyozungumza Rais Magufuli wakati akifungua mkutano Mkuu wa chama cha Walimu
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK