AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii atakayepiga shoo katika hafla hiyo ni Barnaba Classic kuanzia saa moja mpaka saa sita usiku. Wolper amemchagua Barnaba kupiga shoo hiyo kwa kuwa ni msanii anayempenda na kumsapoti kwa ukaribu akisema nyimbo zote alizoimba zinaelezea maisha yake aliyoyapitia.
Staahuyo amewaomba mashabiki zake kufika kwa wingi katika ukumbi wa Buckets kumsapoti na amesema kiingilio ni shilingi 10,000/- tu.
Wasanii mbalimbali wengine watakuwepo kumsapoti Wolper leo. Pia amesema shangwe za siku yake ya kuzaliwa zitaendelea kesho mjini Dodoma katika klabu ya usiku ya burudani ya Maisha. Amewaomba pia mashabiki zake wa mji huo kujitokeza kwa wingi kumsapoti.
Kampuni ya Global Group tunamtakia Wolper kila la heri katika siku yake ya kuzaliwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK