AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon, Gebran Bassil atoa wito kwa Mataifa ya Kiarabu kuiwekea Marekani vikwazo vya kiuchumi mpaka ibadili uamuzi wake wa kuitambua Jerusalem kama Mji Mkuu wa Israel.
Ameyasema hayo katika Mkutano uliowakutanisha viongozi kutoka nchi za kiarabu ambao walikutana kujadili kauli ya Rais Donald Trump kuhusu Jerusalem ambao kwa pamoja wametoa tamko la kupinga na kusema kauli ya Rais huyo haijakaa kisheria na inachochea mgogoro zaidi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK