Mbunge Chadema Ataka Serikali Ishughulikiwe kwa Kutoa Takwimu Nyingi za Uongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge Chadema Ataka Serikali Ishughulikiwe kwa Kutoa Takwimu Nyingi za Uongo
Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini ameitaka serikali kuwa mfano mzuri kwa kutoa takwimu za ukweli na kwamba takwimu nyingi si za kweli na inapaswa kushughulikiwa.


Mbunge John Heche (CHADEMA) ametoa maoni yake hayo kupitia ukurasa wake wa twitter ikiwa ni siku moja baada ya Rais Magufuli kutoa onyo kwa watu wasiohusika kutoa takwimu kufanya kitendo hicho na kuagiza mamlaka husika kuwashughulikia watu hao.

"Serikali inatakiwa kuwa mfano mzuri kwa kutosema takwimu za uongo, lakini tukianzia kwenye takwimu zinazotolewa kuhusu ukuaji wa uchumi, idadi ya viwanda na mengine mengi nafikiri inatakiwa serikali yenyewe ndio ianze kushughulikiwa kwanza," Heche ameandika.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Zito hajakupa kadi ya uanachama... ndiyo kwanza anakusikia.
    Vipi mambo shwali Heche.Jana flemani kaomba kuunganisha chama na zito kamtolea nje. Habali ndiyo hiyo.

    ReplyDelete

Top Post Ad