Shamsa Ford Awapa Makavu Mastaa Wanaochagua Kuolewa na Wanaume Matajili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shamsa Ford Awapa Makavu Mastaa Wanaochagua Kuolewa na Wanaume Matajili
STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa mastaa wengi wanachagua watu wa kuwaoa huku wengi wakiwa na ndoto za kuolewa na matajiri jambo ambalo si sahihi.

Akizungumza na gazeti hili bila kuwataja majina Shamsa alisema, mastaa wengi wamejisahau sana kuwa maisha yamebadilika kikubwa ni kila mtu amuangalie aliyenaye ni mtu mwenye msimamo gani maishani.

“Mastaa wengi wanakosea pale wanapofikiria kuwa wao wanatakiwa waolewe na watu wenye fedha na uwezo mkubwa kimaisha, wanakosea kabisa. Sivyo inavyotakiwa, kikubwa kumuangalia mtu ana msimamo gani na kuweka ustaa pembeni, ” Alisema Shama.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwani child andekuwa mkulima angekupaka wewe acha kuzingua bana itakuwa bwana wako keshafirisika

    ReplyDelete

Top Post Ad