AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo amesema ni vigumu kusema Harmorapa hana uwezo wa kimuziki ila kinachotakiwa ni yeye kuonyesha uwezo.
“Ni yeye kuendelea kuonyesha uwezo, huwezi kum-judge mtu kwa sababu ana sifa fulani mtaani au kwa sababu na muonekano fulani, kwa hiyo we can’t judge uwezo wa kipimo cha uwezo wa mtu ni bidii yake” Rosa Ree ameiambia Bongo5.
“Akitia bidii ndio inawezekana, mimi siwezi nikaja nikajiita rapper Rap Goddess wakati nyimbo ninazotoa ni mbovu, you have to call yourself what is your real hear, kwa hiyo ni yeye kuweka bidii anaweza kufika ninapotaka” amesisitiza Rosa Ree.
Kwa sasa Rosa Ree anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Dow’ baada ya kufunika vilivyo na ngoma ‘Up In The Air’.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Rosa ree Utaigiliaje anga za Wema..???
ReplyDeleteHamolapa kwa mdomo wake ametamka.. Wema amemzimilia.. Haji Manara ameshaombwa apunguze spidi zake.
Hamolapa akishaweka ndani wema kiki itajipa Tuu.