AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kikosi cha Simba SC sasa kitaanza mazoezi yake rasmi siku ya Jumatatu kwenye viwanja vya Polisi Jijini Dar es Salaam. Awali taarifa ya klabu ilieleza kuwa timu ingeanza mazoezi ijumaa hii.
Simba itakuwa inajiandaa na mchezo wake wa raundi ya 12 ligi kuu soka Tanzania Bara, ambapo itakuwa mgeni wa Ndanda FC kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara.
Ligi kuu soka Tanzania Bara (VPL) imesimama kwa muda kupisha michuano ya kombe la CECAFA Challenge inayotarajiwa kuanza Desemba 3 hadi 17 mwaka huu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK