Simba SC Yabadirisha Ratiba Kuanza Mazoezi Yake Jumatatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Simba SC Yabadirisha Ratiba Kuanza Mazoezi Yake  Jumatatu
Vinara wa ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2017/18 Simba SC, imebadili ratiba yake ya kuanza mazoezi baada ya kuwapa mapumziko wachezaji wake kufuatia kusimama kwa ligi.

Kikosi cha Simba SC sasa kitaanza mazoezi yake rasmi siku ya Jumatatu kwenye viwanja vya Polisi Jijini Dar es Salaam. Awali taarifa ya klabu ilieleza kuwa timu ingeanza mazoezi ijumaa hii.
Simba itakuwa inajiandaa na mchezo wake wa raundi ya 12 ligi kuu soka Tanzania Bara, ambapo itakuwa mgeni wa Ndanda FC kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara.
Ligi kuu soka Tanzania Bara (VPL) imesimama kwa muda kupisha michuano ya kombe la CECAFA Challenge inayotarajiwa kuanza Desemba 3 hadi 17 mwaka huu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad