AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na eNEWZ ya East Africa Television, Tunda Man amesema nyimbo zake anazoziandika zinaishi kwa mda mrefu na zinamaudhui yanayojitosheleza kuishi miaka mingi katika sanaa na ndio maana amekaa zaidi ya miaka miwili tangu ameachia nyimbo yake ya mwisho Mama Kijacho.
Hata hivyo Tundaman anasema pamoja na wasanii wa sasa kuachia nyimbo nyingi kwa wakati mmoja, lakini wengine wanaachia nyimbo ambazo hazina ujumbe wala maana kwa jamii. “Wanatoa nyimbo mbaya ambazo zikipigwa kwenye vyombo vya habari wiki mbili tatu tu mwisho wa siku zinapotea kabisa”.
Tundaman pia ameongelea suala la wasanii kubebwa ambapo amesema katika mziki wa sasa wasanii wamekuwa wanabebwa mara nyingi kwenye vituo mbalimbali vya Radio na Television. Mklai huyo wa 'Hit' kibao ameachia ngoma yake mpya inayoitwa TOTO.
“Wakati mwingine unakuta mtu anatoa nyimbo ambayo hajaigharamia kwa chochote kwa kuwa tayari ana washikaji wengi watakao msaidia katika Video na hata Audio mwisho wa siku inatoka nyimbo mbaya au ambayo haina viwango” amesema Tundaman.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK