AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hapo nyuma, Vanessa Mdee aliwaahidi mashabiki zake kuwa , kabla ya mwaka huu 2017 kuisha, atatoa Albamu yake yenye nyimbo18 ambayo itakuwa imewashirikisha wasanii wa Tanzania na nje ya Tanzania.
Kupitia mtandao wake wa Instagram Vanessa Mdee ameonyesha kava ya albamu hiyo (Muonekano) na kuthibitisha hiyo ndio yenyewe kwa kuandika,
"This is the official album cover #MoneyMondaysTheAlbum".
Tusubiri tarehe rasmi ya albamu hiyo na kuweza kuwafahamu zaidi watu aliowashirikisha katika Albamu hiyo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK