AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Washtakiwa wote wanne wamekana mashtaka yote waliyosomewa ambapo wamerudishwa rumande mpaka December 13 2017.
Washtakiwa ni Milembe Suleiman (alievisha pete), Janeth Julius Shonza (alievishwa pete) na wengine ni Athen Mkuki alieshtakiwa kwa kosa kusimamia tukio la kuvalishana pete (MC) huku Richard Fabian ameshtakiwa kwa kosa la kusambaza video fupi ya tukio hilo kwenye mitandao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK