Wanawake Waliovishana Pete ya Uchumba Wafikishwa Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wanawake Waliovishana Pete ya Uchumba Wafikishwa Mahakamani
Wanawake wanaoshtakiwa kwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja Mwanza na kuvishana pete ya uchumba na video yao kusambaa mitandaoni, wamefikishwa Mahakama kuu Mwanza leo.

Washtakiwa wote wanne wamekana mashtaka yote waliyosomewa ambapo wamerudishwa rumande mpaka December 13 2017.

Washtakiwa ni Milembe Suleiman (alievisha pete), Janeth Julius Shonza (alievishwa pete) na wengine ni Athen Mkuki alieshtakiwa kwa kosa kusimamia tukio la kuvalishana pete (MC) huku Richard Fabian ameshtakiwa kwa kosa la kusambaza video fupi ya tukio hilo kwenye mitandao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad