AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Billnass ametoa kauli hiiyo wakati alipokuwa akiahidi zawadi kwa maharusi hao (Shilole na Uchebe) kwenye ukumbi uliofanyika Mikocheni, Jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia jana Jumatatu.
Msanii huyo amesema kwamba licha ya kuwa maharusi hao wamezawadiwa na kupewa ahadi mbalimbali yeye anafahamu mume wa msanii huyo anapenda sana michezo ya ngumi hivyo atampatia benchi la 'gym', punching bag na vifaa vinginevyo.
"Najua Mwanangu Ashraf (Uchebe) anapenda nini, anapenda michezo ya ngumi. Kwa kulitambua hilo mimi namzawadia mwanangu vifaa vya mazoezi ili aweze kufanya fitness. Ufanye mazoezi ya kupambana hata na kina Mziwanda, sisi watoto wakiume bana tunatakiwa kujilinda pale ambapo inabidi," Billnass.
Shilole na Uchebe walifanya sherehe ya harusi yao juzi Jumapili ambapo ilihudhuriwa na wasanii kibao na wengi wakitoa ahadi ya zawadi mbalimbali ikiwepo elimu na nyinginezo nyingi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK