AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Planet Bongo ya East Afrika Radio, Dudu Baya amesema yeye ni msanii anayebadilika kila wakati kulingana na kile kitu mashabiki wake wanataka.
"Mimi nabadilika kila wakati kulingana na mazingira, na ndo maana ukisikia nyimbo zangu kwa sasa ni kwaajili ya masela na sio watu wa kulia lia, kama wapo watu wanaotaka kulia lia wakamsikilize Jux anayemlilia Vanessa maana sio kila mtu kaachwa na Vanessa," amesema Dudubaya.
Dudubaya ni msanii wa Bongo Fleva aliyetamba zaidi katika miaka ya 2005 na nyimbo zake tofauti ikiwemo mpenzi, nakupenda tu na nyinginezo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK