AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tausi alifunguka hayo juzikati baada ya kuzagaa kwa habari kwamba anatarajia kuolewa na mwanamuziki wa Taarab, Prince Amigo na kueleza kuwa, siyo kweli, bali ilikuwa ni kava la wimbo wake, lakini ikitokea amepata mwanaume, yupo tayari kuolewa mke wa pili.
“Kuolewa mke wa pili siyo dhambi, ikitokea nimepata wa kunioa, hata kama ni mke wa pili, sioni shida ilimradi awe Muislam kwa kuwa dini inamruhusu,” alisema Tausi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK