Kuolewa Mke wa Pili si Dhambi- Tausi Mdegela

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuolewa Mke wa Pili si Dhambi- Tausi Mdegela
KOMEDIANI matata wa Bongo Movies, Tausi Mdegela amefunguka kuwa, ikitokea akapata mwanaume wa kumuoa, hata kama ana mke haina shida kuolewa mke mwenza au wa pili kwani kama ni Muislam, dini inaruhusu.


Tausi alifunguka hayo juzikati baada ya kuzagaa kwa habari kwamba anatarajia kuolewa na mwanamuziki wa Taarab, Prince Amigo na kueleza kuwa, siyo kweli, bali ilikuwa ni kava la wimbo wake, lakini ikitokea amepata mwanaume, yupo tayari kuolewa mke wa pili.

“Kuolewa mke wa pili siyo dhambi, ikitokea nimepata wa kunioa, hata kama ni mke wa pili, sioni shida ilimradi awe Muislam kwa kuwa dini inamruhusu,” alisema Tausi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad