AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Shilole amesema nguo hiyo aliagiza mtandaoni, lakini matokeo yake ilikuja kumbadilikia baada ya kuvaa.
“Kwaweli haya mambo ya kununua vitu mitandaoni yamenicost, nguo mimi nimeiona nikaagiza ikaja, nikajaribu siku ya kwanza ikanikaa vizuri tu, siku ya sherehe nikasema nivae leo ile gauni, nikavaa na ikanikaa vizuri tu, sasa balaa likaja kadri ninavoenda na yenyewe inashuka, nikasema hili sasa balaa na nishafika kwenye sherehe, ndio hivyo”, amesema Shilole.
Kufuatia tukio hilo Shilole amepost kwenye ukurasa wake wa instagram akisema kuwa hatokuja kurudia kuagiza nguo za mitandaoni, kuepuka lililotokea.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK