Watuhumiwa Waliovua Nguo na Kugoma Kuingia Mahakamani Wahakumiwa Miezi 6 Jela

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


ARUSHA: Watuhumiwa 24 wa kesi ya ugaidi wamehukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kosa la kuvua nguo na kugoma kuingia mahakamani kusikiliza kesi inayowakabili.
-
Watuhumiwa walitenda kosa hilo Januari 17 kupinga kucheleweshwa kwa upelelezi wa kesi inayowakabili
-
Hakimu wa kesi hiyo, Nestory Baro amesema ametoa hukumu hiyo ili iwe fundisho kwa wengine watakaoonyesha vitendo hivyo alivyoviita sio vya kistaarabu
-
Baada ya hukumu hiyo baadhi ya watuhumiwa walivua tena nguo walipokuwa wanapandishwa kwenye gari kupelekwa gerezani
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad