AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
ARUSHA: Watuhumiwa 24 wa kesi ya ugaidi wamehukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kosa la kuvua nguo na kugoma kuingia mahakamani kusikiliza kesi inayowakabili.
-
Watuhumiwa walitenda kosa hilo Januari 17 kupinga kucheleweshwa kwa upelelezi wa kesi inayowakabili
-
Hakimu wa kesi hiyo, Nestory Baro amesema ametoa hukumu hiyo ili iwe fundisho kwa wengine watakaoonyesha vitendo hivyo alivyoviita sio vya kistaarabu
-
Baada ya hukumu hiyo baadhi ya watuhumiwa walivua tena nguo walipokuwa wanapandishwa kwenye gari kupelekwa gerezani
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK