AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KENYA: Serikali kupitia Waziri wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i amepiga marufuku kundi la na National Resistance Movement (NRM) lililopo chini ya Muungano wa Upinzani (NASA)
-
Kundi hilo liliundwa baada ya Raila Odinga kususia uchaguzi wa marudio na limekuwa katika harakati za kuipinga Serikali na kuhimiza watu kususia bidhaa za makampuni ambayo yanadaiwa kuwa upande wa Serikali
-
Waziri huyo wa Usalama ameliweka kundi la NRM kwenye orodha moja na makundi ya kigaidi kama Al Shabaab na Al Qaeda
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK