Serikali ya Kenya Yapiga Marufuku Kundi la NRM la Raila Odinga..Lawekwa Kundi Moja na Al Qaeda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KENYA: Serikali kupitia Waziri wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i amepiga marufuku kundi la na National Resistance Movement (NRM) lililopo chini ya Muungano wa Upinzani (NASA)
-
Kundi hilo liliundwa baada ya Raila Odinga kususia uchaguzi wa marudio na limekuwa katika harakati za kuipinga Serikali na kuhimiza watu kususia bidhaa za makampuni ambayo yanadaiwa kuwa upande wa Serikali
-
Waziri huyo wa Usalama ameliweka kundi la NRM kwenye orodha moja na makundi ya kigaidi kama Al Shabaab na Al Qaeda
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad