Video: Baunsa wa Diambond Atosahau Unyama Huu Aliofanyiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mpango mzima wa ‘Birthday Party’ ya baunsa wa Mfalme wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, anayefahamika zaidi kwa jina la Mwarabu Fighter, ulifanyika katika fukwe za Sea Breeze zilizopo Mbezi Beach – Dar, jana Februari 11, 2018.


Mashabiki wa Mwarabu Fighter na wageni waalikwa wote walipata fursa ya kukata keki pamoja na baunsa huyo kisha kupiga stori mbili tatu, na mwisho wa yote wakaamua kumfanyizia kitu mbaya ambayo hata yeye hatosahau maishani mwake……

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad