Daimond Kufanya Ziara Kwenye Majiji 12 Nchini Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Daimond Kufanya Ziara Kwenye Majiji 12 Nchini Marekani
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ametangaza ziara yake ya muziki nchini Marekani ambapo atatumbuiza kwenye majiji 12 nchini humo.

Ziara hiyo inayoanza tarehe 22 June hadi 23 July 2018, Diamond atawapagawisha kwa burudani wakazi wa Majiji ya New York, Los Angeles, Minnesota, Houston, Seattle, Kansas City, Washington DC, Boston, Atlanta, Columbus, Philadephia, Dallas.

“Kuelekea kwenye Kuachiwa Rasmi kwa Albam ya #AboyFromTandale Ndugu zangu Mlio Marekani Jiandaeni kwa Ziara ya #AboyFromTandaleUSATour mdani ya State hizo 12 kuanzia tareh 22/06 hadi 23/07 Mwaka 2018!!“amesema Diamond Platnumz.


Ziara hiyo ya ‘A Boy From Tandale’ itakuja baada ya kuachiwa kwa album yake ya ‘A Boy From Tandale’ mwezi Machi 14, 2018.

Soma zaidi – Diamond Platnumz asogeza mbele tarehe ya kuachia album yake ‘A Boy From Tandale’
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad