Gigy Money Alia na Mapenzi "Unabeba Mimba Anakuonyesha Dharau na Mwanamke Wake wa Nje Anakuonyesha"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Gigy Money Alia na Mapenzi "Unabeba Mimba Anakuonyesha Dharau na Mwanamke Wake wa Nje Anakuonyesha"
Msanii wa muziki Bongo, Gigy Money amefunguka yale anayopitia katika mahusiano yake kwa sasa.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa ni mjamzito ametupa lawama zake nyingi kwa wanaume kwa madai ni watu wasioridhika katika mapenzi. Gigy Money ametumia Instagram kuandika ujumbe mrefu kueleza yaliyo moyoni;

Kiukweli Leo nina stress sana na ndio maana nimeona bora niseme kwani nachokiamini mm sio peke angu ninayo yapitia haya kuna muda unaweza ukakufuru Mungu kwa maneno ambayo kesho na kesho kutwa uwezi kuyarudisha kinywani katika makosa ambayo najua nimeyafanya nikupenda lakini kupenda sio dhambi nimepitia mengi sana kwenye Mapenzi kiasi chakufikia kupungua kimwili akuna kitu kibaya na kigumu kama kumuaminisha mtu unampenda unaweka nguvu na jitihada zako katika mapenzi kuna muda unawaza sijui niachie ngazi.

Walio karibu na mm wanaweza wakawa wanajua was baadhi ya mateso na utumwa wa mapenzi nilio wahi kupitia na still bado najiuliza kwann wanaume niwagumu kuonesha hisia zao za ukweli inashangaza mwanaume anaeza kuishi na ww pika pakua lakini anaempenda yuko mbali na upeo wa macho yake hicho kitu naamini wanawake wengi hawakiwezi ikiwa mm ni mmoja wao kama sikutaki nitakwambia in good way bila hata kugombana lakini mwanaume awezi kua muwaz na hii labda anapata kitu kidogo kwako yawezekana pesa,mavaz au umaarufu yote yanawezekana kiukweli natamani ningekua gigy yule ambae naweza kua na maamuzi yangu binafsi lakini nashindwa naumia mapenzi ni kitu ovyooooo .

Mara nyingi huwaga tunawapenda watu wenye uwezo wakawaida tukiamini mapenzi sio pesa ila wanaume wabongo wajeuri unabeba mimba dharau anakufanyia mwanamke wake wa nje atakuonesha kiukweli inauma ndio lakini naamini nihatua za maisha na ukuaji naamini nimedondoka hatua moja lakini naweza kuinuka hatua 8 Tanzania ni nchi inayoongoza kua na single mother’s sio wote baba wa watoto wamefariki wengi wetu huwaga tuna wakimbiza watoto wetu mbali na maisha na mateso tuliyo wahi kuyapitia kwa baba zao hakuna mtu anaeweza kunielewa ila mkiona mtu Ana type ivi ujue yanazidi hakuna kitu kibaya kama mtu akupendee kitu inauma sana.

Gigy Money ambaye ni hitmaker wa ngoma ‘Papa’ na kwa sasa ‘Mimina’ yupo katika mahusiano kwa muda mrefu na Mo J ambaye ni mtangazaji za Choice Fm.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad