AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezo wa Simba SC dhidi ya Mbao FC utafanyika Jumatatu ya Februari 26 kwenye Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam wakati mchezo kati ya Ndanda FC dhidi ya Yanga SC utapigwa Februari 28.
Mechi hizo za raundi ya 19 hazikuchezwa kutokana na Simba kuwa nchini Djibouti kucheza na Gendarmerie kwenye mchezo uliochezwa jana na Simba SC kushinda bao 1-0. Yanga yenyewe itakuwa dimbani kucheza na St. Louis ya nchini Shelisheli.
Simba SC inarejea leo Dar es Salaam baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Gendarmerie Tnare mjini Djibouti City katika mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika.
Simba SC inaongoza msimamo wa ligi ikiwa na alama 42, huku Yanga ikiwa na alama 37 katika nafasi ya pili ikifuatiwa na Azam FC yenye alama 35 katika nafasi ya tatu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK