Hii ndio sababu ya Ugonjwa wa Kutokwa na Machozi ya Damu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuna magonjwa mengi duniani na mengine mapya huibuka kila siku huku mengine yakipatiwa tiba na mengine tiba zake zikiendelea kutafutwa na wataalamu wa afya. Inawezekana wewe ni moja kati ya wengi ambao hawajawahi kusikia ugonjwa wa kutokwa Machozi ya Damu.

Wataalamu wanasema kuwa kupitia uchunguzi walioufanya wamegundua kuwa ugonjwa huu unatokana na kasoro kwenye vinasaba (genes) za binadamu jambo ambalo hupelekea matatizo kwenye mishipa ya damu na hatimaye damu kuvuja maeneo ya mwili kama machoni.

Wanasayansi katika Chuo Kikuu cha London katika Taasisi ya Afya ya Watoto na Hospitali ya Great Ormond Street (GOSH), ambao walishiriki utafiti huo, wameeleza kuwa kupatikana kwa ugunduzi huo kutasaidia kupatikana tiba ya ugonjwa huo.

Haya yametokea baada ya kesi mbalimbali za watu kuwa na ugonjwa huo maeneo mbalimbali duniani.

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad