AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ripoti ya wachunguzi wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imeeleza kuwa maafisa 40 wanaweza kuhusishwa katika uhalifu wa vita na uhalifu wa aina nyingine unaoendelea nchini humo dhidi ya binadamu.
Inaelezwa kuwa raia wamekuwa wakiteswa na kuharibiwa na vijiji vikiharibiwa. Migogoro kati ya vikundi vya serikali imeendelea Sudan Kusini pamoja na mpango wa amani uliosainiwa mwaka 2015.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK