Watoto Wanaolazimishwa Kutazama Mama zao Wakibakwa na Kuuawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kutoka nchini Sudan Kusini, ripoti ya Umoja wa Mataifa leo February 23, 2018 inaeleza kuwa watoto nchini humo wanalazimishwa kutazama jinsi mama zao wanavyotendewa vitendo vya ubakaji na wengine wakiuawa.

Ripoti ya wachunguzi wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imeeleza kuwa maafisa 40 wanaweza kuhusishwa katika uhalifu wa vita na uhalifu wa aina nyingine unaoendelea nchini humo dhidi ya binadamu.

Inaelezwa kuwa raia wamekuwa wakiteswa na kuharibiwa na vijiji vikiharibiwa. Migogoro kati ya vikundi vya serikali imeendelea Sudan Kusini pamoja na mpango wa amani uliosainiwa mwaka 2015.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad