Rosa Ree Afunguka Kuhusu Mahaba Yake kwa Khaligraph Jones

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rosa Ree Afunguka Kuhusu Mahaba Yake kwa Khaligraph Jones
Msanii wa muziki Bongo, Rosa Ree amefunguka jinsi anavyovutiwa na uwezo wa kimuziki wa rapper kutoka nchini Kenya, Khaligraph Jones.

Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa amekuwa karibu na Khaligraph Jones kutokana anamshawishi kufanya vitu vikubwa katika muziki wake.

“Khaligraph Jones is also brother of mind, ni mtu ambaye nina ukaribu sana naye, pia yeye anani-inspire sana kutokana na issue zake ambazo anazifanya,” amesema.

“Ni mpambanaji sana, hustler sana atahakikisha anafikia lile lengo ambalo analo na ni kitu ambacho kinani-inspire mimi kama female rapper, Kaligraph pia ni mtu ambaye ana moyo wa pekee yake,” ameongeza.

Mwaka jana Rosa Ree alimshirikisha Khaligraph Jones katika remix ya ngoma yake inayokwenda kwa jina la One Time. Rosa Ree kwa sasa anatamba na ngoma ‘Marathon’ aliyomshirikisha Bill Nass.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad