AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo huyo amesema hayo kupitia kipindi cha Leo Tena na kudai kuwa mume aliyenaye anamfanya anenepe. “Sina Ujauzito, ila watu wananiombea mema, mume niliyenaye ananifanya ninenepe,” amesema Shilole huku akiwa na mumuewe kwenye kipindi hicho.
Akongeza kuwa dada yake alimkataza yeye kuolewa na Uchebe. “Dada alimkataa Uchebe kwa sababu anaonekana hana kipato kikubwa.”
Kwa mujibu wa wapenzi hao wamedai kuwa walikutana kisiwani Zanzibar na huki ndiko mapenzi yao yalipoanzia baada ya Uchebe ambaye ni mumuwe kuamua kueleza hisia zake.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK