AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shilole ametoa msaada wa Pen, Penseli pamoja na vifutio kwa wanafunzi wa shule ya Igunga aliyosoma kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba ambapo baada ya kutoa zawadi hizo alipost kwenye ukurasa wake wa instagram na kuandika.
…>>>“Mapema jana nilikuwa shule ya msingi Igunga ambayo nilisoma hapo kuanzia la kwanza mpaka la saba! Kukumbuka ulipotoka ni jambo jema sana na kuchangia kidogo niliwapa zawad ya pen! Pensel! na vifutio asante Flaviana Matata foundation kwa kunisaport kwa hili 🙏🙏” – Shilole
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK