Shilole Arudi Kwao Igunga..... Atoa Msaada Katika Shule Aliyowahi Kusoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shilole Arudi Kwao Igunga..... Atoa Msaada Katika Shule Aliyowahi Kusoma
Moja kati ya jambo la msingi ambalo wasanii na watu maarufu wamekuwa wakilifanya ni kurudisha fadhila kwa jamii ambapo wengi wao wamekuwa wakitoa misaada katika shule au vituo vya watoto wanaoishi maisha magumu, Shilole ameingia kwenye list ya mastaa walioamua kurudisha fadhila kwa jamii..

Shilole ametoa msaada wa Pen, Penseli pamoja na vifutio kwa wanafunzi wa shule ya Igunga aliyosoma kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba ambapo baada ya kutoa zawadi hizo alipost kwenye ukurasa wake wa instagram na kuandika.

…>>>“Mapema jana nilikuwa shule ya msingi Igunga ambayo nilisoma hapo kuanzia la kwanza mpaka la saba! Kukumbuka ulipotoka ni jambo jema sana na kuchangia kidogo niliwapa zawad ya pen! Pensel! na vifutio asante Flaviana Matata foundation kwa kunisaport kwa hili 🙏🙏” – Shilole


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad