AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati Neymar anarejea Hispania kwa ajili ya mechi hiyo, ameamua kuongeza tatuu ya Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Neymar ameongeza mchoro huo mguuni akionyesha ameipania mechi hiyo na ana imani wataivuka Madrid na kusonga mbele.
Mshambulizi huyo alijiunga na PSG akitokea FC Barcelona kwa dau la pauni milioni 198 na kuweka rekodi mpya ya usajili.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK