Video: Baada ya Iyobo Kutaka Kuwaua Shilawadu Aunt Ezekieli Awaomba Msamaha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Video: Baada ya Iyobo Kutaka Kuwaua Shilawadu  Aunt Ezekieli Awaomba Msamaha
Baada ya siku chache dansa wa Diamond Mose Iyobo kutaka kuwauwa shilawadu Aunt Ezekieli awapigia simu shilawadu kuwaomba msamaha kwa kilichofanya na mume wake.

Aunt alionyesha kukelwa kwa kilichotokea na kuwaomba kuwa huo ugomvi wampe yeye na kumuacha Iyobo iliwamalizane nae.

Aunt aliwaambia kwa sasa yupo safarini na atakaporejea atawaomba wakutane ili kuzungumza ishi hiyo na kuwahaidi kuwalipa mali zote ambazo zimeharibika siku ya tukio hilo.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad