Video: Diamond Agawa Urithi Kwa wanae Baada ya Kuachana na Zari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Video: Diamond Agawa Urithi Kwa wanae Baada ya Kuachana na Zari

Msanii wa bongo fleva Diamond platnumz baada ya kuachana na mama watoto wake zari, kutokana na kuwa na skendo mbali mbali za kimapenzi na wasanii tofauti akiwemo Hamisa mobetto amezaa nae mtoto  mmoja na hivi karibuni kuonekana katika picha ya mahaba na wema sepetu ambae alikuwa na mahuziano na e zamani, hivyo Diamond ameamua kuwapa urithi watoto wake wawili Nillan na Dully.

Tazama video hapo chini

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ni vizuri kama ameamua kufanya hivo... BongoSwaggz

    ReplyDelete
  2. Wote hao hawakurithi maana umewazaa nje ya ndoa, anaekurithi ni mamayako na babayako, na hata babayako kama hakumuoa mamayako pia hafai kukurithi

    ReplyDelete

Top Post Ad