Aunt Ezekiel Afunguka Sababu ya Kumshirikisha Mwanae Cookie Katika Filamu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aunt Ezekiel Afunguka Sababu ya Kumshirikisha Mwanae Cookie Katika Filamu
Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefunguka sababu ya kumshirikisha mwanae, Cookie katika filamu yake mpya ‘Mama’ ambayo ipo mbioni kutoka.

Muigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa sababu ya kufanya hivyo ni ili kupata uhalisia na hisia za moja kwa moja.

“Amecheza kama mtoto wangu na amakuja kujaribu, kuwa sure kama anaweza kufanya kwa sababu mwisho wa siku Cookie ni mdogo sana lakini nilitamani kucheza naye ili nipate ile feeling like iniume kama kama Mama,” amesema.

“Watanzania wameshachoka na vitu ambavyo tulikuwa tunavifanya, wanataka vitu vipya, sasa nimewatengenezea kitu kipya kutokana na mimi hadhi yangu ipo kivingine, now am mama kwa hiyo nafanya kama Mama,” ameongeza.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad