AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Huwezi Kumfungia Mtu Kama Roma Miezi Sita Unajua Anachangamoto Gani?? Umewah Kuzitatua Unanifungia Nyimbo Zangu Umewahi Kusaidia kituGani kwenye Muziki wangu?? Utamnunulia Tifa Pampers wewe Simuogopi Mtu Hata Jela Ntaenda Ila Ntaitetea Bongofleva Naijua Kuliko Anavyoijua Anafungia Tu Bila Hata Research Simuogopi Anakuja Atatuacha hapa sisi”
Diamond Amtumia salamu naibu waziri Juliana Shonza katika Interview Ya #ThePlaylist ya Times FM
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wewe DOMO umaarufu unakulevya, huyo unaye mtolea povu ni serikali, yenye uwezo wa 'kukubeba' ama 'kukuangusha' au kwa vile ni mwanamke tena binti mdogo?? ......SHIKA-ADABU-YAKO-NA-ADABU-IKUSHIKE.......mfyuuuuuuu
ReplyDelete