Hali Mbaya ya Hewa Yawa Tishio Ulaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hali Mbaya ya Hewa Yawa Tishio Ulaya

Hali mbaya ya hewa imeendelea kuleta taharuki katika eneo kubwa la Bara la Ulaya, ambapo watu kadhaa kufa na mamia ya nyumba kukosa umeme kufuatia hali mbaya ya baridi iliyofikia nyuzi joto ya chini ya sifuri.


Nchini Ireland usafiri wa aina mbalimbali pamoja na ule wa ndege umeahirishwa kufuatia upepo mkali uliosababishwa na dhoruba kali iliyoziacha nyuma takribani 24,000 na maeneo ya biashara kukosa umeme wakati nchini Uingereza maelfu wakikumbwa na giza.


Barafu na theluja inayomiminika katika nchi hizo imesababisha hali ya maisha kuwa ngumu kwa wasafari na wananchi kwa jumla.

Tahadhari imeendelea kutolewa kwa wananchi huku kwa wasio na makazi, wakipatiwa hifadhi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad