AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii Chemical amefunguka kuhusu picha yake iliyosambaa mtandaoni ikimuonyesha mwenye umbo kubwa tofauti na muonekano wake wa kawaida.
Chemical ambaye anatamba na ngoma ‘Asali’ ameiambia Bongo Dot Home ya Times Fm kuwa umbo lake siku zote lipo hivyo.
“Hata nisipoji-edit mimi bado nina wowowo kabisa, mimi mtoto wa Kihaya, fresh,” amesema.
Katika hatua nyingine Chemical amezungumzia filamu yake na Wema Sepetu na kueleza anatarajia kuitoa hivi karibuni na itakuwa kazi ya mwisho ndani ya menejimenti ya Kazi Kwanza.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK